Hawa Ndiyo Viongozi Wapya wa Stand United...Dkt. Ellyson Maeja Ang'aa Uenyekiti





Mwenyekiti mpya wa Stand United Dkt. Ellyson Maeja akizungumza baada ya kutangazwa mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa klabu hiyo



Hawa ndiyo Viongozi wa Klabu ya Stand United (CHAMA LA WANA) ya mjini Shinyanga waliochaguliwa leo katika uchaguzi uliofanyika katika ukumbi wa ofisi ya Mkuu wa mkoa wa Shinyanga.

Mwenyekiti- Dkt. Ellyson Maeja

Makamu Mwenyekiti-Richard Luhende

Wajumbe wa Kamati ya Utendaji:

1. Francisco Magoti

2. Geofrey Tibakyenda

3. Jackline Burahi

4. Twahil Njoki

5. Mariam Richard

Powered by Blogger.