RC SHINYANGA AWAAPISHA WAKUU WA WILAYA YA KAHAMA, SHINYANGA, NA KISHAPU
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainabu Tareck akimwapisha mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro kuwatumikia wananchi wa Shinyanga na kutatua changamoto zinazowakabili pamoja na kuwaletea maendeleo. |
![]() |
Mkuu wa wilaya ya Kishapu Nyambonga Taraba akila kiapo mbele ya mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainabu Tareck |
![]() |
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainabu Tareck akimkabidhi vitendea kazi mkuu wa wilaya ya Kahama Fadhili Nkulu mara baada ya kumaliza kumwapisha |
Viongozi wa ngazi ya halmashauri na wilaya wakiwa ukumbini
Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama mkoa na wilaya wakiwa ukumbini
Katibu tawala wa mkoa wa Shinyanga Albert Myovela akizungumza ukumbini
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Shinyanga Erasto Kwilasa na meya wa manispaa ya Shinyanga Gulam Hafeez Mukadam wakiwa meza kuu
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainabu Taleck akizungumza baada ya kuwaapisha wakuu wa wilaya
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainabu Taleck aliwasisitiza wakuu hao wa wilaya kufanya kazi kwa kujituma
Tunafuatilia kinachoendelea ukumbini
Tunafuatilia kinachoendelea
Wakazi wa Shinyanga wakiwa ukumbini
Viongozi wa madhehebu ya dini wakiwa ukumbini
Wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wakiwa ukumbini
Tunafuatilia kinachoendelea
Mkuu wa wilaya ya Kahama Fadhili Nkulu akizungumza baada ya kuapishwa
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro akizungumza baada ya kuapishwa
Matiro akizungumza
Tunafuatilia kinachoendelea
Mkuu wa wilaya ya Kahama Fadhili Nkulu na mkuu wa wilaya ya Shinyanga Josephine Matiro wakiwa ukumbini
Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainabu Taleck akiteta jambo na aliyekuwa kaimu mkuu wa mkoa wa Shinyanga John Mongela ambaye ni mkuu wa mkoa wa Mwanza
Mkuu wa wilaya ya Kishapu Nyambonga Daudi Taraba akizungumza baada ya kuapishwa
Aliyekuwa kaimu mkuu wa mkoa wa Shinyanga John Mongela akizungumza wakati wa kukabidhi ofisi kwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainabu Taleck
Aliyekuwa kaimu mkuu wa mkoa wa Shinyanga John Mongela akizungumza wakati wa kukabidhi ofisi kwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainabu Taleck
Aliyekuwa kaimu mkuu wa mkoa wa Shinyanga John Mongela akikabidhi nyaraka za ofisi kwa mkuu wa mkoa wa Shinyanga Zainabu Taleck
Afisa Uhamiaji mkoa wa Shinyanga Annamaria Yondani akifurahia jambo ukumbini
Wakuu wa wilaya wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu
Mkuu wa wilaya ya Kahama akiwa katika picha ya pamoja na meza kuu
Mkuu wa wilaya ya Shinyanga akiwa katika picha ya pamoja na meza kuu
Mkuu wa wilaya ya Kishapu akiwa katika picha ya pamoja na meza kuu.
Picha zote na Marco Maduhu -Msukuma Blog